BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Marekani yaishambulia tena Iran, Tehran yajibu
Marekani imedai kuzuia mashambulizi ya Iran baada ya kudungua makombora ya balistiki na ndege zisizo na rubani zilizokuwa zikielekea Mlango wa Hormuz pamoja na nchi jirani za Ghuba ya Uajemi.
Wachezaji 7 wa Afrika wa kutazamwa katika Kombe la Dunia
BBC imewaangazia wachezaji saba kutoka Afrika ambao watatazamwa na kufuatiliwa sana katika mechi za kombe la dunia zitakazochezwa nchini Marekani, Mexico na Canada.
Nini siri ya mwanga mwekundu katika kuboresha ngozi?
Chembechembe hizi ndogo za mwanga mwekundu zinaweza kusaidia kuongeza kasi ya uzalishaji wa nishati ndani ya seli, hivyo kuruhusu seli zilizozeeka au zilizoharibika kurekebishwa na kuzalishwa upya, kulingana na urefu wa wimbi na nguvu ya mwanga huo.
Kipi kitaanza kumalizika, akiba za mafuta au vita Iran?
Itachukua miezi kadhaa kurejesha usambazaji na kujaza tena akiba zilizopungua kufikia viwango vya awali
Tetesi za Soka Ulaya: Madrid kutoa ofa ya dunia kwa Oliseh
Real Madrid inapanga kuwasilisha ofa ya pauni milioni 130 kwa winga wa Bayern Munich, Michael Olise. Wakati huo huo, Arne Slot ameikataa ofa ya Fulham baada ya kutimuliwa na Liverpool, huku Newcastle United ikiwa karibu kukamilisha usajili wake wa kwanza wa dirisha la usajili la majira ya joto.
Kushuka kwa takwimu rasmi za Ebola ni habari njema, lakini hatari bado ipo
Kupungua huko kunatokana na data bora zaidi, baada ya maabara kuweza kuwatenga wagonjwa wengi waliokuwa na homa lakini wakisumbuliwa na magonjwa mengine kama malaria, ambayo ni ya kawaida DRC.
Aina mpya ya ugonjwa wa kisukari unaowapasua vichwa wataalamu
Madaktari walimwambia Noella alikuwa na kisukari aina ya 5, ambayo huwaathiri vijana hususan wale walio na uzani mdogo sana.
Mashambulizi ya makombora na 'hatari inayowakabili viongozi wa Iran'
Siku za hivi karibuni lugha ya vita na vitisho imeonekana kushamiri katika taarifa za maafisa wa Iran kuliko kuzingatia diplomasia na ''mazungumzo".
Kijiji ambacho watu husafiri kilomita 45 kuchaji simu zao
Maafisa husika wanasema kutounganisha umeme katika Kijiji hicho kunatokana na hali mbaya ya barabara.
Je, Elon Musk kuwa trilionea wa kwanza duniani?
Iwapo hisa za kamuni hiyo zitauzwa zaidi ya dola 135, itakuwa mojawapo ya makampuni tajiri duniani. Hilo likitokea na Musk ambaye anamiliki 80% ya Space X anaweza kuwa trilionea.
Iwapo Iran na Marekani wataafikia makubaliano, Israel itakuwa na chaguo gani?
Ikiwa mazungumzo yatagonga mwamba, Israel huenda italazimika kutegemea kampeni ya muda mrefu inayohusisha operesheni za kijeshi na za siri ili kuzuia Iran kupata silaha za nyuklia.
Je, vidonda vya mdomo visivyopona ni dalili ya saratani?
Hapo awali, ugonjwa huu ulikuwa ukionekana tu kwa watu wa makamo au wazee. Lakini sasa, visa vinaongezeka pia kwa vijana.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
WARIDI WA BBC: Akiwa na miaka 12 alitafutiwa mume wa miaka 50, leo ameokoa mabinti 300
Sikuelewa mengi kuhusu ndoa, lakini nilielewa jambo moja maisha yangu yalikuwa yanabadilishwa bila ridhaa yangu.
Rosana Kathure: "Ningejua anayenioa atanikata jicho, nisingeolewa"
Rosana anasema mume wake alikuwa akimuambia maneno makali kila walipokwazana lakini yeye aliyachukulia kirahisi.
Afrika kuanza kutumia Su-34M, ndege mpya za kivita za Urusi
Su-34M ni ndege ya kivita ya Urusi ambayo ni ya mashambulizi ya masafa marefu , iliyotengenezwa kwa ajili ya mashambulizi ya ardhini, baharini na pia kujilinda angani.
Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.
Kauli tata za wanasiasa wanaohama vyama Tanzania
Ingawa kisheria kuhama chama ni haki ya kikatiba ya kila mwanasiasa, mjadala mkubwa hubaki kwenye maneno waliokuwa wakiyasema wakati wakiwa kwenye vyama wanavyovihama, maneno ambayo mara nyingi huonekana kugongana na hatua zao za baadaye.
WARIDI WA BBC: 'Nilitokwa na haja ndogo bila kukoma kwa miaka minne'
Shirika la afya ya uzazi la Umoja wa Mataifa - UNFPA na Wakfu wa Fistula wanakadiria kuwa visa vipya vya fistula 1,000 hadi 3,000 hutokea nchini Kenya kila mwaka.
Rare Earth: Je, madini haya yataleta maajabu Tanzania?
Madini muhimu ya Rare Earth Elements, yanaundwa na kundi la kemikali 17 zenye sifa za kipekee, na ni muhimu katika teknolojia mbalimbali za kisasa.
Ni nani anayelinda meli eneo la Ghuba na Bahari ya Shamu?
Je, ni miungano gani maarufu zaidi ya kijeshi kwa sasa inayolinda usafiri wa baharini katika eneo la Mashariki ya Kati?
Kiongozi wa ISIS aliyelengwa na Marekani kaskazini mashariki mwa Nigeria
Rais wa Nigeria Bola Tinubu alithibitisha tarehe 16 Mei kifo cha afisa mkuu wa Islamic State (IS), Abu Bilal al-Manuki (au al-Mainuki), wakati wa operesheni ya pamoja ya kijeshi na Marekani.
Ebola ni nini na kwa nini kuzuia mlipuko huu ni vigumu sana?
Mlipuko wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo unahusisha aina adimu ya virusi na unatokea katika eneo lililoathiriwa na migogoro.
Tunachojua kuhusu mashambulizi mapya kati ya Marekani na Iran
Mashambulizi haya ya hivi karibuni yanatokea wakati mazungumzo ya kusitisha mapigano yamekwama, baada ya juhudi za kumaliza miezi kadhaa ya mapigano kushindwa kuleta maendeleo yoyote mwishoni mwa wiki.
CHADEMA vs Msajili, vita vya panzi au mgogoro wa mfumo?
Kwa takribani miaka kadhaa sasa, uhusiano kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa CHADEMA, umekuwa ukichukua sura ya mvutano wa mara kwa mara.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 8 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 5 Juni 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 5 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 5 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani





















































