BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Iran yasema itajilinda dhidi ya vitisho vya Marekani
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Iran, Araghchi amesema hali ya sasa ya ukosefu wa usalama katika Mlango wa Hormuz ni matokeo ya moja kwa moja ya kile alichodai kuwa Marekani ilikiuka ahadi zake.
Tetrachromacy: Uwezo nadra wa kuona rangi nyingi kuliko za kawaida
Antico anasema anaona "rangi nyingi" katika matukio ya kila siku, kama vile vivuli, wakati watu wengi wanatambua wigo wa rangi moja pekee.
Tetesi za Soka Ulaya Jumapili: Arsenal inatathmini uwezekano wa kumsajili Vinicius Jr
Arsenal inafikiria kumsajili Vinicius Jr, Inter Milan inamtaka Cristian Romero na ofa ya Real Madrid kwa ajili ya Yan Diomande yakataliwa.
Kwa nini saa moja ina dakika 60, na kwa nini juhudi za kuibadilisha kuwa na dakika 100 hazikufaulu?
Waliamua kwamba siku sasa ingegawanywa katika saa 10, na si tena kuwa 24. Kila saa ingejumuisha dakika 100 za desimali, kila moja ikiwa na sekunde 100 za desimali.
Fata Morgana: Tukio adimu la taswira inayompotosha kila mtu
Fata Morgana ni aina ya udanganyifu wa macho (mirage) tata na inayobadilika haraka, ambayo hubadilisha sana muonekano wa vitu vilivyo mbali, na kuvifanya vionekane kama maumbo yasiyoeleweka au miundo mirefu iliyopishana.
Nchimbi awaambia Watanzania: "Pambaneni mpate Katiba mpya"
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt Emmanuel Nchimbi, amewataka Watanzania kuendelea kudai kupatikana kwa Katiba mpya yenye maridhiano ya kitaifa, akisema ndiyo msingi wa kuimarisha haki za binadamu, utawala bora na demokrasia nchini.
Kwa nini wanaume na wanawake wana sauti tofauti?
Ili kuelewa ni kwa nini wanaume na wanawake wana sauti tofauti, tunapaswa kuangalia kwanza injini kuu ya sauti: zoloto au kisanduku cha sauti na mikunjo inayosababisha sauti iliyo ndani yake.
Umuhimu wa mkondo wa Bahari wa Bab el-Mandeb unaotishiwa na Wahouthi ni upi?
Madai hayo yakithibitishwa, shambulio hilo litakuwa la kwanza tangu kundi hilo linaloungwa mkono na Iran litangaze "vikwazo vya usafiri wa majini" dhidi ya Saudi Arabia.
Viumbe wanaoishi maisha marefu na mafupi zaidi
Swali la kwanini kuna tofauti hii ya umri wa kuishi kati ya viumbe, jibu liko katika utenda kazi wa mwili, mazingira, na uzazi.
Saudi Arabia lazima iitambue Israel - Trump
Rais wa Marekani anasema makubaliano muhimu ya kuisaidia Saudi Arabia kuendeleza nishati ya nyuklia yanategemea nchi hiyo kujiunga na Makubaliano ya Abraham.
Mojtaba Khamenei: Kwa nini kiongozi wa kidini wa Iran haonekani hadharani?
Kutokuwepo kwa Khamenei kunaweza kuwa kwa muda mfupi. Inaweza kuwa ni hatua ya usalama kutokana na hali ilivyo sasa, lakini pia linaweza kuwa ni jambo la muda mrefu.
Mlima Ghazla Kalang; kituo cha Iran kilicho chini ya ardhi, cha siri, na chenye utata
Picha za satelaiti zilizopatikana na BBC kutoka kituo cha chini ya ardhi katika Mlima Kalang, kusini mwa kituo cha kurutubisha uranium cha Natanz, zinaonyesha ujenzi na uzio wenye ukuta wa zege kwenye kituo hiki cha siri.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Kwanini Iran inajihatarisha katika harakati za kuudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz
Hakuna hata moja kati ya chaguzi zinazowakabili viongozi wa Iran inayotoa njia ya wazi ya kupata ushindi, huku mzozo na Marekani ukiendelea.
'Baada ya kuthibitishwa kuwa nina ugonjwa huu nilitamani kufa'
Kulingana na Nduta ugonjwa huu una dalili zaidi ya 40 na kila mmoja ana dalili zake. Lakini anachokijua ni kwamba kadiri miaka inavyoongezeka ndivyo hali ya ugonjwa huu inavyoendelea kuwa mbaya.
Kwa nini Iran haitaki kuachia udhibiti wa Mlango bahari wa Hormuz?
Mgogoro kati ya Iran na Marekani sasa unaonekana kuzidi suala la kupita kwa meli chache au kutozwa kwa ada za usafirishaji. Iran inataka kudumisha na kuimarisha nafasi iliyoipata wakati wa vita, huku Washington ikitaka kuzuia udhibiti wa Iran juu ya mojawapo ya njia muhimu zaidi za usafirishaji wa nishati duniani.
Nchi sita zinazowavutia watalii zaidi barani Afrika
Sawa na maeneo mengine ya duniani, Afrika inaendelea kuwavutia watalii wa kimataifa mwaka wa 2026.
Mlima Kallang uko wapi na kwa nini Trump anautolea vitisho vya kuushambulia?
Katika vitisho vyake vya hivi karibuni dhidi ya Iran, Rais wa Marekani Donald Trump amelitaja eneo ambalo halijulikani sana ikilinganishwa na vituo vingine vya nyuklia, "Koh Kalang," eneo la chini ya ardhi lililo karibu na kituo cha nyuklia cha Natanz.
Freemasons waelezea taratibu zao na faida za kuwa mwanachama
Kuanzia salamu za siri za mikono na kukunja ncha za suruali hadi tuhuma za upendeleo kwa watu wa karibu, uonevu na kukandamiza mageuzi, sifa ya Freemasons haijawahi kuwa nzuri wakati wote.
Jumuiya ya Madola yapendekeza kesi ya Tundu Lissu 'imalizwe' ndani ya siku 30
Jumuiya ya madola imeitaka serikali ya Tanzania kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kisheria kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchni humo Tundu Lissu
Mama mkatili: "Alinilazimisha kuishi kama mgonjwa kwa miaka mingi"
Mama yake alikuwa karibu naye kila wakati, na kila alipomwona Nina akitabasamu, alikasirika na kumwadhibu.
Vyuo 10 bora Afrika Mashariki 2026
Elimu inasalia kuwa mojawapo ya vichocheo muhimu zaidi vya maendeleo kote Afrika, na Afrika Mashariki haijabaguliwa.
Khalil al-Hayya: Mfahamu kiongozi mpya wa Hamas, mrithi wa Yahya Sinwar
Akiwa mpatanishi mkuu wa Hamas, Hayya alipata umaarufu wa kimataifa kwa kuongoza ujumbe wa kundi hilo katika mazungumzo ya kusitisha mapigano yasiyo ya moja kwa moja na kukutana na wapatanishi nchini Misri na Qatar.
Kwa nini Kenya inapaswa kuwa na wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa magenge ya wahuni?
Mwaka wa 2026 umeshuhudia visa vya kutisha vya uhuni ambavyo mpaka leo ni wachache ambao wamekamatwa na kufikishwa mahakamani kukabiliwa na mashtaka.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 27 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 24 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 24 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 24 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































