BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
CCM kuna Yuda au ni homa ya urais 2030?
Mitandao ya kijamii nchini Tanzania imelipuka kwa mjadala kuhusu jina moja tu - "Yuda". Limeibuliwa na mwanasiasa Simai Mohammed Said. Yuda ni nani? Kwanini Simai ameamua kuzungumza sasa? Na kwa nini achague Bunge, badala ya vikao vya chama, kuwasilisha ujumbe huo?
Moja kwa moja, Marekani na Iran zaanzisha mashambulizi mapya, Kuwait yasema uwanja wa ndege umeshambuliwa na Iran
Mashambulizi ya hivi karibuni yanatokea baada ya mazungumzo kuhusu makubaliano ya kukomesha vita vyao vya miezi kadhaa kushindwa kuendelea mwishoni mwa juma.
Tanzania inatafuta nini Urusi?
Hii ni ziara ya kwanza ya Rais Samia nje ya Bara la Afrika, tangu vurugu za uchaguzi wa Oktoba 29, 2025, lakini ni ziara ya pili kufanywa na Rais wa Tanzania nchini Urusi tangu 1969 alipozuru Baba wa Taifa, Julius Nyerere.
Vita vya 'kisiri' vinavyohatarisha usalama wa ndege duniani
Ndege ya Royal Air Force iliyokuwa imembeba Waziri wa Ulinzi wa Uingereza John Healy ilikuwa ikiruka juu ya Estonia, karibu na mpaka wa Urusi, wiki iliyopita wakati jambo la kushangaza lilipotokea.
Kwa nini ngome hii yenye miaka 900 ni muhimu katika vita vya Israel-Hezbollah?
Picha na video zilizotolewa na jeshi la Israel zinaonyesha wanajeshi wakipita kwenye magofu ya ngome ya enzi za kati juu ya mlima, kisha wakiinua bendera ya Israel juu yake.
AFCON U-17: Tanzania yafa kiume fainali, yaacha alama Afrika
Ndoto ya Tanzania kutwaa taji lake la kwanza la Afrika katika soka imeishia mikononi mwa Senegal baada ya Serengeti Boys kufungwa kwa penati 4-2 kufuatia sare ya 1-1 katika fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa vijana chini ya miaka 17 (AFCON U-17) iliyochezwa mjini Rabat, Morocco.
Mapendekezo 3 ya kodi yanayozua utata miongoni mwa Wakenya
"Ukataliwe Muswada wa Fedha wa mwaka 2026/27 katika hali yake ya sasa kwa sababu unaelekea kuanzisha kwa njia ya kificho mikataba ya upangishaji ambayo itawaathiri kwa kiasi kikubwa wakenya wakipato cha chini," alisema kinara wa upinzani Kalonzo Musyoka.
Tetesi za Soka Ulaya: Aston Villa haina mpango wa kumuuza Rogers
Barcelona bado wana hamu ya kumsajili Marcus Rashford kutoka Manchester United.
WARIDI WA BBC: Akiwa na miaka 12 alitafutiwa mume wa miaka 50, leo ameokoa mabinti 300
Sikuelewa mengi kuhusu ndoa, lakini nilielewa jambo moja maisha yangu yalikuwa yanabadilishwa bila ridhaa yangu.
Je, ni klabu gani zilizo na wachezaji wengi zaidi kwenye Kombe la Dunia 2026?
Kuna timu 17 ambazo zina wachezaji 10 au zaidi kwenye Kombe la Dunia ambao walicheza mpira wa vilabu mara ya mwisho, ambapo watano kati yao ni wa Uingereza.
Timu 4 zinazoshiriki kombe la dunia kwa mara ya kwanza
DRC na Haiti zinarudi kwenye mashindano haya baada ya miaka 52, Iraq ikirejea baada ya miaka 40, lakini kuna timu nne zitagusa nyasi za kombe la dunia kwa mara ya kwanza tangu zizaliwe.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Rosana Kathure: "Ningejua anayenioa atanikata jicho, nisingeolewa"
Rosana anasema mume wake alikuwa akimuambia maneno makali kila walipokwazana lakini yeye aliyachukulia kirahisi.
Afrika kuanza kutumia Su-34M, ndege mpya za kivita za Urusi
Su-34M ni ndege ya kivita ya Urusi ambayo ni ya mashambulizi ya masafa marefu , iliyotengenezwa kwa ajili ya mashambulizi ya ardhini, baharini na pia kujilinda angani.
Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.
Kauli tata za wanasiasa wanaohama vyama Tanzania
Ingawa kisheria kuhama chama ni haki ya kikatiba ya kila mwanasiasa, mjadala mkubwa hubaki kwenye maneno waliokuwa wakiyasema wakati wakiwa kwenye vyama wanavyovihama, maneno ambayo mara nyingi huonekana kugongana na hatua zao za baadaye.
WARIDI WA BBC: 'Nilitokwa na haja ndogo bila kukoma kwa miaka minne'
Shirika la afya ya uzazi la Umoja wa Mataifa - UNFPA na Wakfu wa Fistula wanakadiria kuwa visa vipya vya fistula 1,000 hadi 3,000 hutokea nchini Kenya kila mwaka.
Rare Earth: Je, madini haya yataleta maajabu Tanzania?
Madini muhimu ya Rare Earth Elements, yanaundwa na kundi la kemikali 17 zenye sifa za kipekee, na ni muhimu katika teknolojia mbalimbali za kisasa.
Ni nani anayelinda meli eneo la Ghuba na Bahari ya Shamu?
Je, ni miungano gani maarufu zaidi ya kijeshi kwa sasa inayolinda usafiri wa baharini katika eneo la Mashariki ya Kati?
Kiongozi wa ISIS aliyelengwa na Marekani kaskazini mashariki mwa Nigeria
Rais wa Nigeria Bola Tinubu alithibitisha tarehe 16 Mei kifo cha afisa mkuu wa Islamic State (IS), Abu Bilal al-Manuki (au al-Mainuki), wakati wa operesheni ya pamoja ya kijeshi na Marekani.
Ebola ni nini na kwa nini kuzuia mlipuko huu ni vigumu sana?
Mlipuko wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo unahusisha aina adimu ya virusi na unatokea katika eneo lililoathiriwa na migogoro.
CHADEMA vs Msajili, vita vya panzi au mgogoro wa mfumo?
Kwa takribani miaka kadhaa sasa, uhusiano kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa CHADEMA, umekuwa ukichukua sura ya mvutano wa mara kwa mara.
Maswali 5 magumu kuhusu moto katika bweni shuleni Kenya
Baadhi ya wazazi bado wanahangaika kujua kuhusu walipo watoto wao, huku serikali ikijitahidi kuonyesha kuwa imechukua hatua licha ya kuendelea kukosolewa vikali.
Iran na Marekani kwenye vita yenye washindi wawili
Ikiwa Tehran itaendelea kudumisha ushawishi wake wa kikanda na kuzuia kusitishwa kabisa kwa mpango wake wa nyuklia, Iran itajiona kuwa mshindi.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 4 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Listen Live, Dira Ya Dunia, 18:29, 3 Juni 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 3 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 3 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani





















































