BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Wahouthi wadai kuhusika na shambulio dhidi ya meli za mafuta baada ya Marekani kufanya mashambulizi zaidi dhidi ya Iran
Kundi la Houthi nchini Yemen linasema limezishambulia meli mbili za mafuta za Saudi Arabia katika Bahari ya Shamu, muda mfupi baada ya Marekani kufanya mashambulizi dhidi ya Iran kwa usiku wa 12 mfululizo.
Ndani ya 'dhehebu' la Epstein, na simulizi za wanawake aliowanyanyasa kwa miaka mingi
Kulingana na Anya, Epstein alikuwa na msisimko wa kupindukia kuhusu miili ya wanawake, na hata alimlazimisha kufanyiwa upasuaji ambao haukuwa wa lazima na ambao ulimwacha na ulemavu.
Kwa nini makubaliano ya nyuklia yaliyotiwa saini na Marekani na Saudi Arabia yanazua utata?
Marekani ilitangaza Jumatano Julai 22 kwamba imefikia makubaliano ya nyuklia ambayo haijawahi kushuhudiwa na Saudi Arabia ambayo itaiwezesha nchi hiyo ya Mashariki ya Kati kuendeleza sekta yake ya nishati.
Marekani yatumia zaidi ya dola bilioni 37 katika vita dhidi ya Iran
Waziri wa Ulinzi wa Marekani Pete Hegseth amesema vita vinavyoongozwa na Marekani dhidi ya Iran vimeigharimu nchi hiyo takriban dola bilioni 37.5 hadi sasa, ongezeko la karibu dola bilioni 8 ikilinganishwa na makadirio ya awali yaliyotolewa mwezi Mei.
Tetesi za soka Alhamisi: Liverpool wana imani kubwa ya kumsajili Bradley Barcola
Liverpool wana imani kuwa wanaweza kuwashinda Arsenal na Bayern Munich katika mbio za kumsajili mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola.
Lissu na Msigwa wakutana Mahakama Kuu huku kesi ya kikatiba ikiahirishwa
Wakati huo huo, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai, amemfananisha mwanasiasa Peter Msigwa na kiungo wa Simba SC, Clatous Chama, kufuatia uamuzi wa Msigwa kurejea Chadema baada ya kuondoka CCM.
Kwanini Iran inajihatarisha katika harakati za kuudhibiti Mlango Bahari wa Hormuz
Hakuna hata moja kati ya chaguzi zinazowakabili viongozi wa Iran inayotoa njia ya wazi ya kupata ushindi, huku mzozo na Marekani ukiendelea.
Kwa nini Beckham akawa sura ya Kombe la Dunia nchini Marekani?
Nchini Marekani, hakuna mtu anayeweza kutambulisha soka kwa umma kama David Beckham, na wakati wa Kombe la Dunia la hivi karibuni, ilikuwa vigumu kumpuuza nahodha huyo wa zamani wa England.
'Baada ya kuthibitishwa kuwa nina ugonjwa huu nilitamani kufa'
Kulingana na Nduta ugonjwa huu una dalili zaidi ya 40 na kila mmoja ana dalili zake. Lakini anachokijua ni kwamba kadiri miaka inavyoongezeka ndivyo hali ya ugonjwa huu inavyoendelea kuwa mbaya.
Nchi sita zinazowavutia watalii zaidi barani Afrika
Sawa na maeneo mengine ya duniani, Afrika inaendelea kuwavutia watalii wa kimataifa mwaka wa 2026.
Mlima Kallang uko wapi na kwa nini Trump anautolea vitisho vya kuushambulia?
Katika vitisho vyake vya hivi karibuni dhidi ya Iran, Rais wa Marekani Donald Trump amelitaja eneo ambalo halijulikani sana ikilinganishwa na vituo vingine vya nyuklia, "Koh Kalang," eneo la chini ya ardhi lililo karibu na kituo cha nyuklia cha Natanz.
Tetesi za soka Jumatano: Chelsea, Arsenal, Tottenham zamuwania Rashford
Tottenham Hotspur, Chelsea na Arsenal zinadaiwa kupanga kumsajili mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Freemasons waelezea taratibu zao na faida za kuwa mwanachama
Kuanzia salamu za siri za mikono na kukunja ncha za suruali hadi tuhuma za upendeleo kwa watu wa karibu, uonevu na kukandamiza mageuzi, sifa ya Freemasons haijawahi kuwa nzuri wakati wote.
Jumuiya ya Madola yapendekeza kesi ya Tundu Lissu 'imalizwe' ndani ya siku 30
Jumuiya ya madola imeitaka serikali ya Tanzania kutafuta ufumbuzi wa kisiasa na kisheria kumaliza kesi inayomkabili kiongozi wa upinzani nchni humo Tundu Lissu
Mama mkatili: "Alinilazimisha kuishi kama mgonjwa kwa miaka mingi"
Mama yake alikuwa karibu naye kila wakati, na kila alipomwona Nina akitabasamu, alikasirika na kumwadhibu.
Vyuo 10 bora Afrika Mashariki 2026
Elimu inasalia kuwa mojawapo ya vichocheo muhimu zaidi vya maendeleo kote Afrika, na Afrika Mashariki haijabaguliwa.
Njia 4 nadra ambazo mwanamke anaweza kupata ujauzito
Isipokuwa iwapo umeruka darasa la elimu ya ngono, labda una ufahamu wa kimsingi jinsi watoto wanavyoumbwa.
Kwa nini uume ni kipimo muhimu cha afya ya mwanaume
Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa hivi punde, wanaume wenye tatizo la kushindwa kusimamisha uume walibainika kuwa na uwezekano mkubwa kwa asilimia 59 wa kupata ugonjwa wa mishipa ya moyo na uwezekano mkubwa kwa asilimia 34 wa kupata kiharusi.
Je, wanadamu wanaweza kupata watoto katika anga za juu?
Jumuiya ya watafiti wa anga za juu imetoa ahadi kubwa kuhusu mustakabali wa maisha ya binadamu nje ya Dunia.
Kwa nini Kenya inapaswa kuwa na wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa magenge ya wahuni?
Mwaka wa 2026 umeshuhudia visa vya kutisha vya uhuni ambavyo mpaka leo ni wachache ambao wamekamatwa na kufikishwa mahakamani kukabiliwa na mashtaka.
Kiongozi Mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei yuko wapi?
Mojtaba Khamenei, ambaye alitangazwa kuteuliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, ndani ya wiki moja tangu kuuawa kwa baba yake, bado hajaonekana hadharani.
CCM kuna Yuda au ni homa ya urais 2030?
Mitandao ya kijamii nchini Tanzania imelipuka kwa mjadala kuhusu jina moja tu - "Yuda". Limeibuliwa na mwanasiasa Simai Mohammed Said. Yuda ni nani? Kwanini Simai ameamua kuzungumza sasa? Na kwa nini achague Bunge, badala ya vikao vya chama, kuwasilisha ujumbe huo?
Jinsi Trump anavyohangaika kumaliza vita na Iran
Baada ya karibu mwezi mmoja wa mazungumzo ya kwenda na kurudi ya kusitisha mapigano, kati ya mataifa hayo mawili, yenye uhasama, Trump na Wamarekani wanaonekana kukabiliwa na changamoto zile zile zilizokuwepo kabla ya Vita na Iran.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 23 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 23 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 23 Julai 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 22 Julai 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































